Thursday, 18 April 2024

Mradi wa kukabili Radi-Nabuyole

 Mbunge wa webuye Mashariki Martin Wanyonyi amezindua mradi wa shilingi milioni tatu kukabiliana na Radi eneo la Nabuyole.

Akizungumza wakati wa kuzindua mradi huo Katika shule ya msingi ya Nabuyole Wanyonyi amesema mitambo ya radi itaepusha maafa yanayotokea wakati wa mvua.

"Tutaweka vivaa vya kisasa kuzuia radi eneo hili, nimeagiza mkandarasi kuhakikisha mradi huu unaisha haraka," Wanyonyi walisema. 

Wakaazi  eneo hilo wamepongeza  hatua hiyo wakisema ni afueni kwao











Sunday, 7 April 2024

𝐋𝐮𝐬𝐚𝐤𝐚 𝐔𝐫𝐠𝐞𝐬 𝐅𝐨𝐫𝐦𝐚𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐨𝐟 𝐑𝐨𝐛𝐮𝐬𝐭 𝐌𝐮𝐥𝐞𝐦𝐛𝐞 𝐂𝐚𝐮𝐜𝐮𝐬 𝐟𝐨𝐫 𝐑𝐞𝐠𝐢𝐨𝐧𝐚𝐥 𝐄𝐦𝐩𝐨𝐰𝐞𝐫𝐦𝐞𝐧𝐭.



𝑩𝒚 𝑬𝒍𝒊𝒛𝒂𝒃𝒆𝒕𝒉 𝑲𝒂𝒌𝒂𝒊/𝑮𝑷𝑼


Bungoma Governor Kenneth Lusaka of has called upon the political leadership in the Western region to establish a formidable caucus aimed at fostering socio-economic advancement.


 Speaking at a church service in Kakamega County, Governor Lusaka emphasized the importance of collaboration among leaders for the collective benefit of their constituents.


"In order for our region to prosper, it is imperative that we establish a strong political caucus and foster cooperation, as these are essential instruments in driving forward our developmental aspirations for the people," he remarked.


Lusaka issued a challenge to the Mulembe Nation, urging them to invest in current leadership to bolster the region's prominence on the national stage. 


"We must take pride in our region's top leadership and rally behind our own to bolster our bargaining power for a fair share of the national resources," he concluded. 

𝓟𝓱𝓸𝓽𝓸𝓼 𝓐.𝓢𝓲𝓯𝓾𝓷𝓪 /𝓖𝓟𝓤