Mbunge wa webuye Mashariki Martin Wanyonyi amezindua mradi wa shilingi milioni tatu kukabiliana na Radi eneo la Nabuyole.
Akizungumza wakati wa kuzindua mradi huo Katika shule ya msingi ya Nabuyole Wanyonyi amesema mitambo ya radi itaepusha maafa yanayotokea wakati wa mvua.
"Tutaweka vivaa vya kisasa kuzuia radi eneo hili, nimeagiza mkandarasi kuhakikisha mradi huu unaisha haraka," Wanyonyi walisema.
Wakaazi eneo hilo wamepongeza hatua hiyo wakisema ni afueni kwao

No comments:
Post a Comment