Sunday, 14 June 2020

ESELI, WAMUNYINYI NA WANGAMATI KUHAMIA ODM

Mbunge was Tongaren ESELI Simiyu , Wafula Wamunyinyi wa Kandiyi na gavana wa kaunti ya Bungoma Wycliffe wangamati Wana mipango ya kuhamia chama cha ODM.


Kulingana na Karibu mkuu was chama cha Ford Kenya Eseli Simiyu ikiwa mapinduzi waliofanya yatagonga mwamba hawana jingine ila kuhamia chama cha ODM ambako wameahidiwa vyeo.

Mugawanyiko katika chama cha Ford Kenya huku mirengo ya Seneta was kaunti ya Bungoma  Moses Wetangula na Wafula Wamunyinyi iking'ang'ania uongozi was chama.

No comments:

Post a Comment