waziri wa afya Antony walela ansema kwa sasa madereava 13 wamepatikana kuwa na virusi vya Covid 19 huku wengi wao wakitangamana na wakaazi.
Maeneo yaliyo hatarani ni Webuye, Bukembe na kanduyi huku wakaazi wakionekana wakiuza bidhaa kama vile matunda na mahindi kwa madereva hayo bila kuzingatia mashariti ya kujizuia na maambukizi.
No comments:
Post a Comment