Waziri wa Utumishi wa Umma na Masuala ya Kijinsia na Mbunge Mwakilishi wa Wanawake wa Homa Bay Gladys Wanga wamedai kuwa hatua hiyo haifai kwani inalenga kudumaza uongozi wa wanawake nchini
Prof Kobia amelaani madiwani wa Kirinyaga waliopitisha hoja ya kumwondoa afisi Gavana Waiguru hawathamini uongozi wa wanawake.
Mnamo Jumanne madiwani 23 kati ya 33 walipitisha hoja hiyo, licha ya kuwepo kwa amri ya mahakama ya kuzuia kujadiliwa kwake, na sasa uamuzi huo unasubiriwa kuwasilisha kwa Seneti baada ya siku tatu.
No comments:
Post a Comment